Mkurugenzi Mkuu Bw. Joseph Constantine Mafuru Wasifu
Msimamizi wa Ofisi ya Kanda ya Kati kutoka Tume Bi. Suzana Mapunda akitoa maelezo juu ya Upangaji Matumizi ya Ardhi kwa Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Khamis Hamza Khamis wakati wa Maadhimisho ya Siku ya Mazingira Dunia
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mhe. Deogratius Ndejembi akiwasilisha Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi kwa Mwaka wa Fedha, 2025/26 Bungeni jijini Dodoma Mei 29, 2025.
Mkurugenzi Mkuu wa Tume Bw. Joseph Mafuru (wa kwanza kulia) akifuatilia kwa makini hotuba ya bajeti ya Wazira ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi iliyowasilishwa na Waziri Mhe. Deogratius Ndejembi, Bungeni Jijini Dodoma 29/05/2025
Mwenyekiti wa Kamati ya Usimamizi Matumizi ya Ardhi ya Kijiji cha Msungua (VLUMC) akifanya wasilisho la Mpango wa Matumizi ya Ardhi wa Kijiji hicho mbele ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na Utalii 24/05/2025
Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na Utalii Mhe. Timotheo Mzava akiteta jambo na Naibu Waziri wa Ardhi Mhe. Geophrey Pinda wakati wa ziara ya Kamati katika Kijiji cha Msungua, Wilaya ya Ikungi, Singida 24/05/2025
Mkurugenzi Mkuu wa Tume Bw. Joseph Mafuru akitoa maelezo juu ya utekelezaji wa Mradi wa Upangaji Matumizi ya Ardhi wakati wa ziara ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na Utalii mkoani Singida 24/05/2025
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mhe. Deogratius Ndejembi, akizungumza na waandishi wa habari Mei 23, 2025 jijini Dodoma, kuhusu mafanikio ya Wizara katika kipindi cha miaka minne ya uongozi wa Rais Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan
Wapima Ardhi kutoka Tume na Ofisi ya Kamishna Msaidizi wa Ardhi Mkoa wa Mtwara wakisimika Vifaa vya Upimaji kwa ajili ya kuhuisha Mipaka ya Ardhi ya Vijiji vya Kata ya Maundo Wilayani Tandahimba ili kutatua Migogoro ya Mipaka baina ya vijiji hivyo 15/5/25
Mkuu wa Ofisi za Tume Kanda ya Mashariki Bw. Edward Mpanda (katikati) akitoa elimu ya Sheria za Ardhi, Maliasili na Mazingira kwa Wananchi wa Kijiji cha Ilyamchele, Wilayani Bukombe wakati wa uandaaji Mpango wa Matumizi ya Ardhi ya Kijiji hicho 04/05/25
Uongozi na Watumishi wa Tume ya Taifa ya Mipango ya Matumizi ya Ardhi (NLUPC) wanaungana na Watanzania wote kuomboleza kifo cha Makamu wa Kwanza wa Rais na Waziri Mkuu Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Cleopa David Msuya.
Sehemu ya Watumishi wa Tume walioshiriki maadhimisho ya Sikukuu ya Wafanyakazi Duniani "Mei Mosi" ambapo Kitaifa yalifanyika katika viwanja vya Bombadia Mkoani Singida 01/05/2025
Wananchi wa Kijiji cha Mzinga Kata ya Kwediboma katika Halmashauri ya Wilaya ya Kilindi wakiwa kwenye Mkutano wa Kijiji kwa ajili ya kujadili na kupitisha Mpango wa Matumizi ya Ardhi ya Kijiji hicho. 28/04/2025
Muungano wetu ni Dhamana, Heshima na Tunu ya Taifa. Shiriki uchaguzi Mkuu wa Mwaka 2025
Katibu Tawala Wilaya ya Manyoni Mwl. James Mchembe akiwa na Wataalamu wa Tume kwenye daraja la Mto Msemembo wakati wa utatuzi wa Mgogoro wa Mpaka kati ya Kijiji cha Msemembo na Makuru tarehe 23/04/2025
Wajumbe wa Halmashauri ya Kijiji cha Mwamatiga kilichopo katika Halmashauri ya Wilaya ya Mpimbwe na Kamati ya Usimamizi Matumizi ya Ardhi ya Kijiji hicho wakisikiliza kwa makini Mafunzo juu ya Usimamizi wa Rasilimali Ardhi yaliyotolewa na mtaalamu wa Tume